Tuesday, 10 July 2018

She is my boss sehemu 20


She is my boss

Sehemu 20

Mtunzi damich

WhatsApp number 0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page…. Damich story entertainment

My website….

http://damichstory.blogspot.com/

Tulipo ishiaishia


Jackline kuskia hivyo alianza kuliaa

Tena alilia sanaa

Mr freymar na mke wakee walishangaa na kujiuliza maswal mengi

Unajua kwa nini ana lia

Zipo sababu mbili za msingi

Sababu 1

  1. Ubongo ni sehemu ambayo ni muhimu sana na ndo maana imefichwa na fuvu gumu la kichwa pia ha itakiwi  kisumbuliwe kabisa maana huna weza kufa au kuwa kichaa

  2. Sababu ya piliii…….utaijua mbeleee


ENDELEA


Tukiachana na upande wa kina Jackline

Huku upande wa India

Ma daktari walikua bize sana

Damich yeye alikua aelewi kabisa kinacho endelea

Alifanyiwa operation ya kicha

Kisha wakachukua chemical moja hivi inaitwa (RBD)

Repair bone's damage

Chemical hiyo imekaa kwenye mfumo wa kimiminika na ipo kama mifupaa kwaiyo walicho kua wakifanya wale ma doctor ni kuimiminia ile sehemu yenye krekii kwenye SKULL fuvu la kichwa

Upande wa Tanzania

Maeneo ya kanisani anaonekana Jackline akiwa amepiga magoti aki ongea

Eeh mungu naomba hutie mkono wako babaa,naamini hakuna kinacho kushindaa baaba

Tia mikono yako juu ya madaktari wale maana si kwa ujuzi na utaalamu wao bila wew wao sio kitu

Tenda miujiza baba tenda baba naomba na kushukuru Amina


Pale pale anaingia Mr Freymar

Alipo muona Jackline alipumua kwa  nguvu

Uhuuuh

Sasa mwanangu kwa nini umetutorokaa hospital

Na simu umezima mwanangu Eeh

Baba amna humuimu wa kuendelea kukaa pale hospital wakati sijui damii anaendelea je?

Mwanangu twende ukale kwanza Basi jamanii

Baba naomba uniachee

Mr Freymar anatoka nje ya kanisa na kutoa simu mfukoni na kumpigia mke wake, Hallo mke usiangaikee nimesha mpata yupo kanisa la moyo mtakatifu, naomba uje haraka maana anagoma kutoka,namwambia twende akalee ataki, wewe nisubiri nakuja mda si mrefuu, latipha alifika hospital na kuanza kum bembeleza mtoto wake

Lakini Jackline aligomaa

Mwanangu twende ukale kwanza kisha tuta wapigia video call na utamuona Damii sawa

Sawa mama

Basi Jackline alikubali wakaenda nyumban wakala akaoga kisha

Mr frey akatoa laptop yake na kuchomeka moderm na kumpigia mwanae Jackie

Hallo mwanangu

Shkamoo nii

Unaendelea je mwanangu

Safi tuh

Damii anaendelea je

Damiii anaendelea vizur operation imekamilikaa

Tuna subirii azindukee tujue kama yupo sawa

Ok mwanangu pesa bado ipo au imeishaa

No daddy bado ipo usijalii

Ok mchana mwemaa

No daddy saivi ukuu ni usiku

Hahaha Sawa good night mwanangu


Baada ya siku hiyo kupita


Siku iliofwata Damii alizindukaa

Akakaa kitandani akawa anashangaa shangaaa tuh

Madaktari walikua wakimuangalia kupitia CCTV camera

Damii alikaa akashangaa kisha  akarudii ku lala

Madaktari wali wai na kumchukua kumpeleka kwenye scan machine

Wakawa wana mkagua

Fuvu lilikua limejiunga vizur

Wakawa wanapongezanaa

Walikombatiana

Sasa daktari mmojaa wa kike anaye  Itwa pujaa

Aliongea mr malotra subirii

Puja alikua ameshika mouse ya computer aka zoom

Oh sheet

Umeonaa hii

Maskini ya munguu aiseeh huwezi Amini kumbe lile fuvu lilivo pata krekii

Na ubongo wa damiii

Medulla oblongata ulikua umegawa nyikaa mara mbiliii kwa nyuma

Ila uja gawanyika wotee

Umegawa nyikaa nusuu

Madaktari wote walikosa rahaa

Maana amnaga operation ya ubongo

Eti useme utaushonaa


Lakini mr malotra aliongea

Nakumbuka mwaka flanii hivii kuna mtoto alizaliwa ubongo wake wa medulla oblongata umejigawa hivii sema sina hakika Kama ni kama huu wa damii

Unakumbukaa ilikua ni lini puja aliongea

Ilikua ni kama mwezi wa 8 hivii mwaka 1997 kitu kama ichoo

Pujaa aliingia kwenye computer na ku search huo mwaka na kuanza kuchunguza video

Bahati nzuri waliipata hiyo video

Wakaangalia Kwa umakiniii

Na kufananisha na damii

Hii ina fanana kabisa si umeona


Ule mgawanyiko wa medulla oblongata wa damii na ule mtoto una fanana saizii


Hilikua ni habari nzuri

Maana huyo mtoto wanao mzungumzia saivii ni Genius wa hatarii yanii Ha shkiki


Sasa hina bidi tumfanyie uchunguzii Kwanza kama atakua na upeo mkubwa kama yule mtoto au atakuajee

Maana wametofautiana yule mtoto kazaliwa akiwa hivyo ila huyu damii yeye kapata ajalii ndo akawa hivyoo


Basi madaktari walitoka na kwenda kwenye chumba cha Damii kwa ajili ya uchunguzii

Walipo ingia tuh dami alinyanyukaa

Kisha akawa ana washangaa

Hello

Puja aliongea

Lakini damii alikaa kimya

Hey

Damii alinyanyua mdomo na kujaribu kurudi yale maneno ya puja lakini alishindwa

Hey

Bado alijaribu lakini wapii

Ilibidi wamuite Jackie

Huyu alikua anaongea

Jackie alipo muona damii kaamka alifurahi

Ndio anaongea

Sasa mbona namsemesha ajibuu

Damii mambo

Damii alishangaa

Damiii mambo

Dami tena alijaribu kurudi yale maneno lakini hawezii


Madaktari walipata jibu kuwa damii kapoteza kumbu kumbu

Akumbukii kituu chochotee

Hadi kuongea hakumbukii

HAHAHA HII NDO SAWA NA WAKOSOA WAIGIZAJI WA MOVIE

ETI WANA SEMA MTU KAPOTEZA KUMBU KUMBU LAKINI CHA AJABU ANAJUA KUONGEA KIINGEREZA AU KISWAHILI

UTAPOTEZA JE KUMBU KUMBU ALAFU UJUE KUONGEA


Sasa Mimi nimepoteza kumbu kumbu yani sijui chochote  ata kuongea sijui

Nipo kama mtoto aliye zaliwa

Sijui kitu kabisaa



ITAENDELEA


USIKOSE SEHEMU 21



Usisahau ku like my page Damich story entertainment Facebook


Kwa ushauri maoni

Nichek WhatsApp 0624032247



Damich ink

Copyright

                         ©Damich 2018®


No comments:

Post a Comment