Saturday, 7 July 2018

She is my boss sehemu 19


She is my boss

Sehemu 19

Mtunzi damich

WhatsApp number 0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page…. Damich story entertainment

My website….

http://damichstory.blogspot.com/

Tulipo ishiaishia

Jackline

Wew Jack we jack

Jack alishtuka na wenge badala ya kukanyaga break akakanyaga mafuta kwa nguvu gari likaongeza spidiii

Nilicho fanya  nikamfungulia Jackline mkanda kisha nika vuta

Handbrake kwa nguvu zote na kukatisha ustelingi kushoto

Gari ilipiga drift mmoja kaliii

KWA WATAALAMU WATA NIELEWA KWAMBA UKITAKA UPIGE DRIFTING UNAKANYAGA MAFUTA KISHA UNA KATA KONA KALII NA KUVUTA HANDBRAKE

NA SIO KILA GARI LINA DRIFT

Gari ya Jackline ilikubali ku drift na hii ni kwa sababu ni BMW

ndo maanaa

Kisha nika mvuta Jackline upande wanguu

Iliskikaaa

Paaaaaaaa!

Kila mmoja alikata m

oto tulizimia…………..


Endelea

(Usisahau ku invite your friends to like my )

Pia muwe mnashare story

Msiwe wa choyo kiivoo


Endelea na story

Sikujua kilocho endelea

Kitu cha mwisho kuona niliona watu wengi wamezingira gari na wengine wakijaribu kufungua mlango


Tuliwaishwa hospital

Uko hospital sasa

Uyo wakiume mpelekeni ICU

Maana anaonekana ana ngeu upande wa kichwanii


Tukiachana na hospital

Mr freymar Mrs Latipha walipata taarifa tumepata ajalii kubwa

Huwezi amini watu walichanganyikiwa si mr freymar,si Latipha,si Jackie,si Aisha,si Rose ,si Erick

Kwa ujumla watu wote walichanganyikiwa

Kila mtu aliwahi hospital  aiseeh


Harakati za matibabu zilikua zina endelea hasa hasa kwenye kile chumba nilicho lazwa Mimi

Kwa upande wa Jackline  yeye matibabu yake yalikua yamekamilikaa anasubiriwa azindukee tuh

Alionekana doctor mmoja akitoka katika kwenye chumba cha ICU na alimuita na kuingia nae officini

Za saizi mzee

Salaam pole na kazii

Asante

Ok mgonjwa anaendelea je

Ah kwa upande wa yule wakike ana shida

Shida ipo kwa huyu wa kiume

Yule wa kiume amejigongeza kwenye kichwa upande wa medulla oblongata

Na hinaonekana kama ubongo ume shekiii

Na inahitajika matibabu ya haraka

Anatakiwa asafirishwe apelekwe India,kwa sababu hapa Tanzania akuna wataalamu wa Brain

Mr freymar alitoka na kumwita Jackie na mke wakee


Dah damich anatakiwa ahende hindia kwa matibabu


Jackie embu nenda nyumban wew na Aisha kachukueni nguo za damich na za kwenu kisha  mje apa hospital haraka

Na wew mke Wangu nenda kachukue visa na mapasport haraka safar inaanza Leo


Baada ya lisaa limoja kupita kila mtu alikua amesha rudi hospital

Jackie pamoja na Aisha nyie mtaenda India na dammy kwa ajili ya matibabu yake.

Na ntawapeleka kisongo mtapanda

Private jet

Adi dar es salaam mtapanda ndege inayo elekea India na hizi ni document za dammy pamoja na hospital mtakayo fikia

Simu imesha pigwa uko India kwaiyo mkifika amta teseka tena mkifika Bombay Air port

Mtakuta mna subiriwa na ambulance ya muhje khan hospital

Mtapanda mtapelekwa mmoja kwa mojaa

Mr freymar alimaliza kutoa maelekezo

Ok kuna mtu mwenye shida kipingamizi

Amna wote waliitikaa


Basi freymar na mke. Wake  pamoja na Jackie, Aisha na dammy

Walipanda gari adi kisongo

Kisha waka kodi private jet adi

Dar es salaam kwenye uwanja wa ndege wa Taifa

Safari yakuelekea India hili anzaa

Jackie Aisha na dammy wanatua ndanii ya Bombay Air port na kupanda  ambulance moja kwa mojaa hadi kwenye hospital ya muhje khan hospital

Mapokezi mazurii

Matibabu ya dammy yalianzaa


Tukiachana na India

Turudi Tz anaonekana Jackline akiwa kitandan akijitingisha tingishaa mara alipigaa ukelelee na kuita damiiiiii alishtuka uku alihema haraka haraka

Latipha, Mr freymar na madaktar walimuwai

Doctor akaenda kucheki mapigo ya Moyo yanaenda sawa

Basi alimtolea paipu ya oxygen

Jackline aliamka na kuuliza damii

Yupo wapi

Tulia mwanangu damii yupoo

Kwanza unajiskia je

Mama Mimi mzima nataka nika muone damii

Skia mwanangu dammy kwa sasa hayupo Tanzania

Yupo wapii

Yupo india kwa matibabu

Mlivo pata ajali ubongo wakee ulicheza na ndo maana kapelekwa india

Jackline kuskia hivyo alianza kuliaa

Tena alilia sanaa

Mr freymar na mke wakee walishangaa na kujiuliza maswal mengi

Unajua kwa nini ana lia

Zipo sababu mbili za msingi

Sababu 1

  1. Ubongo ni sehemu ambayo ni muhimu sana na ndo maana imefichwa na fuvu gumu la kichwa pia ha itakiwi  kisumbuliwe kabisa maana huna weza kufa au kuwa kichaa

  2. Sababu ya piliii…….utaijua mbeleee



JAMANI NATAKA HII SEHEMU YA 19 HII FIKISHE LIKE 100 NA ZAIDI NA COMMENTS 100 LASIIVYO SEHEMU YA 20 NDO ITAKUA YA MWISHO MAANA SITA SHINDWA KUIMALIZIA NI TASEMA DAMICH ANAFARIKI KWA SABABU DAMU IMEJICHANGANYA NA UBONGO ILA MKIFIKISHA IZO LIKE NA COMMENT KITU KUTAENDELEAA

MAANA UKO MBELE NI HATARI YANI NI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥


ITAENDELEA KWA JUHUDI ZENU


USIKOSE SEHEMU 20



Usisahau ku like my page Damich story entertainment Facebook


Kwa ushauri maoni

Nichek WhatsApp 0624032247



Damich ink

Copyright

                               ©Damich 2018®



No comments:

Post a Comment