Saturday, 7 July 2018

Gangster sehemu 6


Gangster

Sehemu 6

Mtunzi damich

WhatsApp number 0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page…. Damich story entertainment

My website….

damichstory.blogspot.com/


Tulipo ishia


Naomba turudii nyumban

Nancy alipo kuwa anaskia ma neno ya mume wakee

Machozi yalikuwa yakimtokaa aligundua kuwa wakati ana rudisha moyo kwa mumewe anagundua kasha fanya makosa kwa maana ana mimbaa ya priva


Je? Nancy atafanya je


Songa nayo


Binti alikua yupo njia pandaa asijue cha kufanya


Nakwenda kutafuta visa na passport tuna rudii Tanzania

Damii alinyanyukaa na kutokaa


Damii alipo toka tu Nancy alikwenda kupiga simuu kwa privaa

Hallo

Nancy

Priva

Nimekutafuta sana ulikua wapi mda wote huo

Tafadhalii na taka ni ni kutane na wew

Nancy anamwambiw nina mimba apa nilipoo

Priva anataamakii

Ninii?


Uku upande wa Damich

Alifanikiwa kukata visa na passport

Wakati ana rudii alitekwaa na watu wasio julikanaa

Alipelekwaa


Uku upande wa Nancy yeye anafanikiwa kukutana na na privaa


Uku upande wa Damich yeye alipelekwa adi kwa mr David yule bosi wake wakipindi kilee


David alianza ku mshawishi damii kurudia kazii ya ujambazi

Lakinii jamaa aligoma na akawa ana ondokaa

Mr David alimvuta damii na  kuanza ku mpiga walimpiga sana

Jamaa alikua hoi kabisaa

Mr David alimvuta na kuchomoa bindukii tayar ku mpiga damii kwa sababu ameona atakii kufanya nae kazii


Damii aliona apa atakufaa aligeuza ile bundukii na kumchapa mr David risasi mbili za kifua na kumuua kabisa yeye pamoja na wapampe wenzakee

Alipo maliza akampigia simu Nancy naomba tukutanee kiwanjaa cha ndegee


Basi alikua anajikongojaa


Tukirudii uku upande wa Nancy na privaa


Priva anamwambia Nancy sipo tayar kumuacha huyu mtoto

Nipo tayar kuku OA

Nataka ni mlee mtoto wangu

Nancy ana mwambia   

Mimi tayar nimesha mrudia mume wanguu

Na unavo jua navokupenda sipo tayar mtoto wangu alelewe na jambazi sipo tayar

Polisi wakijua unaishia na jambazi bado tuh mtaandamwaa japo ameachaa ujambazi

Nancy mimi nimewaza hivii kama unataka huyu mtoto wetu aishii kwa amani

Pora utoe taarifa kituo cha polisi Damich akamatwee

Binti alisema apanaa

Priva alimwambia sio nafanya hivi na mchukia damii ujanielewaa

Acha polisi wa mkamate kafanya ualifu mwingi

Husipo mkamatisha kwa polisii polisi waki mkamata wata mpiga risasi wata muua

Cha kumsaidia akamatwee na polisi apate adhabu yakee akimaliza ata achiwaa

Binti aligoma kabisaa

Embu tafakarii

Binti alitafakariiiiii

ITAENDELEA


USIKOSE SEHEMU 7

WhatsApp / 0624032247

Damich story entertainment


Copyright

©Damich story ®

2018

No comments:

Post a Comment