Gangster
Sehemu 6
Mtunzi damich
WhatsApp number 0624032247
Instagram……@damich2
Facebook page…. Damich story entertainment
My website….
damichstory.blogspot.com/
Tulipo ishia
Naomba turudii nyumban
Nancy alipo kuwa anaskia ma neno ya mume wakee
Machozi yalikuwa yakimtokaa aligundua kuwa wakati ana rudisha moyo kwa mumewe anagundua kasha fanya makosa kwa maana ana mimbaa ya priva
Je? Nancy atafanya je
Songa nayo
Binti alikua yupo njia pandaa asijue cha kufanya
Nakwenda kutafuta visa na passport tuna rudii Tanzania
Damii alinyanyukaa na kutokaa
Damii alipo toka tu Nancy alikwenda kupiga simuu kwa privaa
Hallo
Nancy
Priva
Nimekutafuta sana ulikua wapi mda wote huo
Tafadhalii na taka ni ni kutane na wew
Nancy anamwambiw nina mimba apa nilipoo
Priva anataamakii
Ninii?
Uku upande wa Damich
Alifanikiwa kukata visa na passport
Wakati ana rudii alitekwaa na watu wasio julikanaa
Alipelekwaa
Uku upande wa Nancy yeye anafanikiwa kukutana na na privaa
Uku upande wa Damich yeye alipelekwa adi kwa mr David yule bosi wake wakipindi kilee
David alianza ku mshawishi damii kurudia kazii ya ujambazi
Lakinii jamaa aligoma na akawa ana ondokaa
Mr David alimvuta damii na kuanza ku mpiga walimpiga sana
Jamaa alikua hoi kabisaa
Mr David alimvuta na kuchomoa bindukii tayar ku mpiga damii kwa sababu ameona atakii kufanya nae kazii
Damii aliona apa atakufaa aligeuza ile bundukii na kumchapa mr David risasi mbili za kifua na kumuua kabisa yeye pamoja na wapampe wenzakee
Alipo maliza akampigia simu Nancy naomba tukutanee kiwanjaa cha ndegee
Basi alikua anajikongojaa
Tukirudii uku upande wa Nancy na privaa
Priva anamwambia Nancy sipo tayar kumuacha huyu mtoto
Nipo tayar kuku OA
Nataka ni mlee mtoto wangu
Nancy ana mwambia
Mimi tayar nimesha mrudia mume wanguu
Na unavo jua navokupenda sipo tayar mtoto wangu alelewe na jambazi sipo tayar
Polisi wakijua unaishia na jambazi bado tuh mtaandamwaa japo ameachaa ujambazi
Nancy mimi nimewaza hivii kama unataka huyu mtoto wetu aishii kwa amani
Pora utoe taarifa kituo cha polisi Damich akamatwee
Binti alisema apanaa
Priva alimwambia sio nafanya hivi na mchukia damii ujanielewaa
Acha polisi wa mkamate kafanya ualifu mwingi
Husipo mkamatisha kwa polisii polisi waki mkamata wata mpiga risasi wata muua
Cha kumsaidia akamatwee na polisi apate adhabu yakee akimaliza ata achiwaa
Binti aligoma kabisaa
Embu tafakarii
Binti alitafakariiiiii
ITAENDELEA
USIKOSE SEHEMU 7
WhatsApp / 0624032247
Damich story entertainment
Copyright
©Damich story ®
2018
No comments:
Post a Comment