Saturday, 7 July 2018

Gangster sehemu 4


Gangster

Sehemu 4

Mtunzi damich

WhatsApp number 0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page…. Damich story entertainment

My website….

damichstory.blogspot.com/


Tulipo ishia


Nancy alisahau ndoa alio funga na mume wakee


Asubui yake priva aliondoka na kwenda kwenye miangaiko yakee ya kila siku


Uku nyumban kwa Nancy

Saangap Damich ajaingia na kumwambia mke wake ameshuhudia kila kitu

Alikuja jana usiku na haliona kila kituu


*Songa nayo*


Binti aliendelea kukumbukaa saiyo bado yupo hospital


Usije uka changanyikiwa story hii ni yakitaalamuu hivyo soma kwa umakinii


Tuna achana kumbukumbu  alio kua akikumbuka Nancy akiwa hospital


Tuna rudi hospital

Kama unakumbuka kuna kijana alipigwa risasi na Nancy mwanzonii kabisaa katika sehemu ya kwanza


Hinaskika sautii ya madaktari ikisema yule kijana tayar amesha fariki dunia

Na alie. Fariki dunia alikua ni priva


Ni kwa nini Nancy alimpiga risasi priva wakati alisha kua mumewake wa pilii

Mimi sijui

Endelelea na story hii utajua kila kitu

Story hii ni yakitaalamuu

Nimeumiza sana kichwa kutunga hii story


Nancy aliskia kua priva kafaa na mwili wake umesha pelekwa mochwari

.

Baada ya Nancy kujua priva tayar amesha kufa Ali nyanyuka kitandan na kuchomoa mirija ya dripu ya maji pamoja na damu

Binti alichukua lift na kupanda juu

Saiyo hali yakee ni mbaya sana


Usije uka jichanganya kumbu kumbu yetu bado ipo pale palee saivii tumerudii mwanzo kabisaa hivyo kuwa makini


Nancy aliishiwa nguvuu akiwa yupo bado kweny lift

Sasa akawa anakumbuka ilikuaje baad ya mume wakee kumkuta

Sasa kumbu kumbu ndo inaendelea


Binti alipata hofuu baada ya kujua ka msaliti mume wakee japo ni jambazi lakini alikua na hakii ya kupenda

Binti alijifungia ndanii

Damich roho ilimuumaa


Damich alitoka moja kwa moja na kwenda kumtafuta mtu alie ingilia ndoa yakee

Binti alipo gundua kua damii ana mfwata priva ilim bidi achomokee na kwenda kumzuia maana ana mjua damii vizur jinsi alivoo


Uku kwa Damich

Alikua tayar kamuona bibi harusi wake akuuliza alimkamata na kuanza ku mpiga

Aiseeh alimuivisha priva alimpiga mpaka akazimia lakini damii akumuacha aliendelea kumpiga


Nancy alifanikiwa kufikaa na kumuamua damii lakini wap dam alikua haelewii

Alinyanyua chuma na alitaka kumpiga nacho lakini alimueshimu mke wake


Damii alimshika mkono mke wake na kuanza kuondoka nayee


Damii niaacheee mimi sikutakiiii

Damiii niacheee

Alikua ni Nancy

Niacheee iiiii

Alimpeleka adii ndaniii kisha akamuachilia

Nancy alitoka ndani speed kumuwai priva lakini alikuta priva ayupoo binti aliita lakini wapiii


Alisema eeh mungu nimepata mume mstaarabu lakini ili lijambazii limekuja kuniaribia binti alirudi ndani kwa hasira na kumkuta damii ka simama ali mvuta na kumpiga vibao ulikuaaa wapiii siku zotee

(Sehemu hii ukisoma jaribu kusoma kama mtu anaye ongea kwa hasira na jazba kalii ndo italeta ladhaa sawaa)

Wew ni mume wangu sasa

Wew ni mume wa aina ganii

Uliniambia baada ya kifo cha mtoto wetu utabadilikaa lakini wapiii wew ni lijambaziiiii

Nancy alikua akiongea kwa jazba kali

Hakuna furaha uliyo nipa katika haya maishaa

Leo unanipigia mtu aliye nipa furaha katika maisha yangu

Mtu aliye ni jalii mimi

Kila siku nakuambia uachee kazi ya uhuniii hauskii

Sasa leo unanipigia mtu aliye ni pa furaha katika maisha yangu

Amenipa furaha kama furaha mwanamkee anayo takiwa kupataa

Una taka kujua nini

Priva ndo mtu katika maisha yangu

Nancy alikua akilia kwa  uchungu na kwa jazba kali


Wew hufai kuwa mumee

Priva ndo mumee anafanya kazi  ya halalii

Anapata pesa za halalii

Wala sio kazii za kijambazii kama wewe

Wewee ni jambazi ustailii kuishii na watuu

Sikuuu takiii katika maisha yangu


Damii alimkataa kibaooo

Lakinii bintii alichoo ongea ni kweliii

Amemvumilia miaka 5 jamaa aache ujambazi lakini wapiii

Mtoto wao kafa kwa ajilii yakee


Jamaa alimpiga makofi mke wakee lakinii aligundua amekosea

Nancy alikimbia ndaniiii



ITAENDELEA


USIKOSE SEHEMU 5

WhatsApp / 0624032247

Damich story entertainment


Copyright

©Damich story ®

2018

No comments:

Post a Comment