Saturday, 7 July 2018

Gangster sehemu 5


Gangst

r

Sehemu 5

Mtunzi damich

WhatsApp number 0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page…. Damich story entertainment

My website….

damichstory.blogspot.com/


Tulipo ishia


Damii alimkataa kibaooo

Lakinii bintii alichoo ongea ni kweliii

Amemvumilia miaka 5 jamaa aache ujambazi lakini wapiii

Mtoto wao kafa kwa ajilii yakee


Jamaa alimpiga makofi mke wakee lakinii aligundua amekosea

Nancy alikimbia ndaniiii


Songa nayo


Leo alijuta

Kumbe kazi ninayo ifanya inanifaidisha kweli napata pesa lakini kuna vituu nakosaa


Laiti ninge lijua ninge liachagaa hii kazii


Damii alijuta na kugundua kuwa amemkosea mke wake japoo amenisalitii

Lakini chanzo ni mimi


Aligundua kuna humuimu wa kuacha hii kazii


Damich ilibidi amrudie mke wake na kujaribu ku m bembeleza kama ata.muelewaa


Damii alimsogelea mke wake na kumuuliza

Hivi ni kweli unampenda privaa

Na mimi unitaki tenaa

Damich alimpigia magoti.mkewe na kumwambia

Ni kweli nimekukosea

Lakinii kama utanipa nafasi mmoja tuh

Nafasi mmoja tuh tena ya mwisho,sita fanya tena makosaa

Nitabadilika moja kwa moja

Nitaacha ujambazi na kutafuta kazi nifanya

Ilimradi niishi na wew mke wangu maana wew mungu ndo amenipaa

Na kwa sasa nipo tayar kuacha na maovu yotee

Tafadhalii naomba usiniachee

Ukiniachaa nitakufaa

Nimepoteza mtoto Leo tena na wew uniachee

Tafadhalii na badilika moja kwa moja

Damii adi aliliaa

Sitaweza kuishi pasipo mke wangu

Please

Please

Please

Damii alilia kwa uchungu mnooo


Hakuna binadamu asie style kusamehewaa

Na hakuna mwanadamu asiye na hakii ya kupenda au kupendwa


Mara simu inaitaa kupokea

Inasikika sauti ya petro yule bubu

Akiongea

Muuh mhuuu mhuuu

Mhuu aiyiii auuuu. Mhuuu

Damich aliielewa ile simu maana aliye piga alikua ni rafiki yake na alimaanishaa ni police wanakuja walipo

Alipo chungulia polisi walikua wamesha fikaa

Ni yule yule inspecta seba


Binti alimwambia damii kimbia kimbia stakii ukamatwe na polisi

Saiyo polisi wana pambana kuvunja mlango


Damii alimshika Nancy na kutokea kwa dirishanaa na kukimbia

Walikutana na petro yule bubu akiwa na gari basii walii yorokaa na kwenda mbalii


Damii alitafuta nyumba japo iilikua imechokaa lakini ndo yakuanzia maishaa

Damii alipiga kila kazii

Kazi zotee za kiumee alipiga alijichanganyaa na mafundi ujenzii

Alipiga kazii

Na kutoa jashoo

Alipigaa kazii akipata elfu 5 lakini ya halalii wanakula na siku ziliendaa


Siku mmoja Nancy akiwa yupo nyumba alianza kujiskia kichefu na hii ilikua ni dalili za mimbaa

Je mimba ni ya nani mimba ni ya priva


Jamaa alibadilikaa mikono ilikua na suguu

Bint aliamini kuwa jamaa kabadilika


Damii leo alimfwata Nancy na kumwambia kuwa wanaomba warudii Tanzania

Naomba turudii

Nimebadilisha maisha kwa ajili yako

Bila wew mimi adi leo ninge kuwa jambazi ila kwa ajili yako nimebadilikaa

Naomba turudii nyumban

Nancy alipo kuwa anaskia ma neno ya mume wakee

Machozi yalikuwa yakimtokaa aligundua kuwa wakati ana rudisha moyo kwa mumewe anagundua kasha fanya makosa kwa maana ana mimbaa ya priva


Je? Nancy atafanya je


ITAENDELEA


USIKOSE SEHEMU 6

WhatsApp / 0624032247

Damich story entertainment


Copyright

©Damich story ®

2018

No comments:

Post a Comment