Saturday, 7 July 2018

Gangster sehemu 10


Gangster

Sehemu 10

MWISHOO

Mtunzi damich

WhatsApp number 0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page…. Damich story entertainment

My website….

damichstory.blogspot.com/


Tulipo ishia


Mume ndo hivyo anakwenda kunyongwa

Yeye mwenyewe ndo kamuuza mumewee

Kwa ajilii ya priva na privaa ndo uyoo kumbe kamtapeliii kimapenz aiseeh


Na uku upande wa priva yeye anaona ni sawa kabisa kwa sababu anapata pesa kwa kutumia story ya Nancy na DAMICH


Songa nayo


Nancy ndo akaamua kurudia pombe mara kumiii ya mwanzo

Sasa hivi ni pombe na yeye

Yeye na pombee


Yanii maisha ya bintii ndo yameharibikaa kuliko ata mwanzo


Siku zotee maisha yanakupeleka yanavyoo takaa maisha

Wala huwez kuyapelekaa maishaa ata siku mmoja


Mungu peke yakee ndo anawezaa kuyapeleka maisha na kukupangia pale anapo taka wew uishii

Na ukiishii kwa kumtegemea munguu mtuu wanguu

Mambo kama ayaa hayawezii kukukutaa

Na huwez kufikia hatua ya kunywa pombe kama hivii


Nancy yeye ana munguu

Ana baba

Ana mama

Wala ana mumee

Pombee ndo kitu kilicho karibu yake na ndo amekua rafiki yake wa karibuu


Yanii kiukwel Nancy amepoteza kabisa dira ya maisha yakee


Akiwa katika halii mbaya skumoja yule bubu petro alumtokea

Rafiki yakee na damii

Alimtazamaaa Nancy

Alimpiga vibao


Shemeji wa kipumbavuu huyuu

Petro alichomoa bastola na kutaka kumpiga risasi ya kichwa

Lakinii ni shemeji yakee huyuuu

Binti ana mwambia ni ue

Tafadhalii naomba uni ue

Ni ue si stailii ni ishii dunian


Petroo alitoa barua ambayo damich aliiandika

Pamoja na passport


Ahaaa ahaaha ahaa

Bubu alikua akilalamikaaa


Hii ni barua ambayo damich aliamua ku iachaa


Siku tegemea Nancy

Kama unge weza kunisalitii kwa kiasii kikubwa namna hii

Angali Mimi niliamua kuacha vyote kwa ajilii yako, lakini wewe ulishindwa kuacha yote kwa ajili yanguu,sina kinginee nilicho bakiwa nacho kwa sasa,serekalii itakwenda kuniukumuu kifoo kutokana na ualifu nilio ufanyaa tokea kitambo,na ningelikua nimetorokaa na kurudi Tanzania, ningelikua na maisha ya amanii

Na ualifu ninge uachaa na dunia inge sahau ualifuu nilio utendaa na jina linge futikaa kabisa,na kwa ajili yako Mimi Leo naendaa kufaa,kila laherii hishii na huyo mwanaume ulio onaa anastailii,

Na kama ukiona umeshindwa kuishii na uyo mwanaume nime mtuma petro akuletee passport upande ndege hurudii Tanzania maana mimi sikukutolea uku south Africa

Hivyo siwezi kuku acha ukuu


Leo Damich kesi yakee imesikilizwa mahakamani na ameukumiwa kifoo na mahakama ya huko huko south Africa

Maana alisumbua kwa mdaa mrefuu



Sasa tunarudii mwanzo kabisaa katika sehemu ya kwanza

Pale mvua ilipo kua ikii nyeesha na kuna range rover moja ambayo ilikua imepakii barabarani

Ndani ya gari hilo palikuepo na Nancy pamoja na petro yule bubu

Ndo pale bintii anachukua bastola ya petro na kumuambia

Na omba unihaidii kitu ki moja petro

Baada ya Mimi kumpiga risasi mtuu uyuu na kumu Ua niahidii utakuja kunipiga risasi na Mimi nifee

Nancy alitamani kufaa lakini hakutakaa kumuacha mtu aliye haribu  maisha yakee aishii  alipanga ampige risasi kisha na yeye apigwe risasi na Petro afee kabisa na ndo palee Nancy anachukua lift ana amua ku pandaa juu

Na hapa ndo mwanzo wa story ilipo hanziaa

Nancy aliingia kwenye chumba cha privaa

Alikutana nayee huso kwa husoo

Nancy akumkopeshaa

Alimpiga risasi  nne za kifua sasa Nancy akawa anashukaa ili petro na yeye akampige risasi

Lakinii priva alijitaidi na kufungua droo na kuchomoa bastola yake na kumpiga Nancy risasi katika bega la kushoto

Nancy alidondoka

Na ndo palee walipo chukuliwa na kupelekwa hospital

Anamaliza kumbu kumbu yakee alio kua akikumbukaa na saiyoo yupo juu ya gorofa


Kama unakumbuka binti alitakaa kufa ndo maana alichomoa mirija ya dripu na kupanda juu ya gorofa


Upande wa pilii Damich na yeye ndo anavishwa kitambaa cheusi ana nyongwa na bintii ana jiachia juu ya gorofa


Sasa wakati Nancy anaondokaa anajiona amedondoka kweny sehemu Safi yenye maUa ya kuvutia majnii ya kupendezaa

Saiyo bado ajafika chini


Anaona akifikaa atakutana na mume wakee  pamoja na mtoto wao charti wakimsubirii

Na yeye atafika na kuishii kwa raha mustareeh

Uko ambako akuna mafua wala maleria

Na atamkumbatia mumewakee pamoja na mtoto wake

Saiyoo wotee awapoo dunianii

Damich ayupo charti pamoja na yeye mwenyewe


***MWISHOO***


Ndugu yanguu hizi ni hadithi ambazo zipo hapa Hapa dunianii

Na nimeleta mahususii kwa ajili ya wewe unaye somaa story hii


Ni kwamba aya ni maishaa tuh ya watu wenginee na hukitaka na wewe usifikie hatua kama hii

Unaweza ukachukua point mbili,tatuu ambazo zitakufaa na ukatumia katika kuendesha maisha yako yakawa sawia

Kwamba ualifu sikuzotee hauna faidaa


Story hii imeletwa kwenuu na Damich

Kwa uzamini wa damich story entertainment

WhatsApp number 0624032247

Contact +255624032247

Instagram…@damich2

Facebook page Damich story entertainment


Asanteniii sanaaa



Copyright

©Damich story ®

2018

No comments:

Post a Comment