Tuesday, 3 July 2018

She is my boss sehemu 18



She is my boss

Sehemu 18

Mtunzi damich

WhatsApp number 0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page…. Damich story entertainment

My website….

http://damichstory.blogspot.com/

Tulipo ishiaishia


Nilifunga milango ya gari nikapandisha vioo kisha

Nikamsukumia Jackie siti ya nyuma nika mvua nguo na Mimi nikavua nikamweka style ya kifo cha mende na nikaanza kumkamua dah ki zagaa cha Jackie kinataiti mbaya kama bikra vilee

Tulipiga gemu hadi kila mtu akaridhika

Huwezi amini nilimminyia bado 4 si mchezoo

Sasa yeye sjui alipiga ngapiii

Mchezoo huo uliendelea kila mara

Yani amna demu nimemla kama Jackie yan kila sikuu nakiona kipya daa

Mwezi huliisha nikawa nimesha kua dereva mzuri tena mzuri

Kilicho bakiii ni lesenii……


Endelea


Baada ya siku 3 kupita

Ilikua ni siku ya jum3

Mzee frey aliniambia Leo ndo ananipeleka chuo cha driving school kujifunza sheria za barabarani


Tuliondoka hadi pande za sakina kwenye chuo cha Arusha driving school

Tulikaribishwa vizur


Karibun sana

Haa merry ni wewe

Frey aliongea

Haa jamn frey dah kweli mungu wa ajabu aiseeh

Milima haikutani ila binadamu tuna kutana aiseeeh

Dah embu niambie umehamia lini Arusha

Mimi nilipo maliza chuo tuh nikahamia hukuu

Dah ata Mimi baada ya kumaliza ndo nikaja kufungua chuo cha driving

Eehe na wew Frey zaivi unafanya biashara gani

Mimi ninauza magari

Wap huko

Si pale kwa father babu

Kwenye hile hospital

Kuna mahal panaitwa academy

Ahaaa nimepajua

Dah kweli ujabadilika kabisa

(Merry na frey wamesoma chuo kimoja cha biashara)


Merry alimvuta frey wakawa wanatembea tembea tembea kuoneshana mazingira

Mimi nilikua nimekaa zangu tuh nashangaa shangaa


Wakati napitisha pitisha macho mara nikaona demu mmojaa

Mkaliii..ki..ku..

Kaa anashepu mmoja hatar kaa utafikiri ni Nicki Minaj dooh

Aiseeh kuna watoto ni visu hatar daah

Nilijisemea

Sasa wakati namfikiria uyo demu nikaskia naitwa

Damii njoo

Nilinyanyuka nikawa na wafuata

Huyu nikijana wangu anaitwa Damich

Damich huyu ni madam wako ndo atakusimamia hadi upate lesenii na nirafiki yangu tulio soma naye yani tulikua kama mapacha maana tulikua tunafwatana kama kumbi kumbii

Nilitabasamu

Damy siunaweza kurudi mwenyewe au

Merry kwan hua wanatoka saa ngapi

Saa 12

Ok siunayo simu

Ndio

Chukua namba ya Jackline

Atakupitia akitoka salon

Ngoja ni ongee naye

Sawa

Ok atakupitia

Damii nifwate nikupeleke Darasanii

Aliongea madam merry

Nilipandishwa gorofan na kuingizwa Darasanii

Niliingia Darasanii kisha nikatafutiwa sehemu ya kukaa

Darasan tulikua wengi kinyamaa

Nilitambulishwa

Kwa uyo mwalimu tulio mkutaa

Kisha nikaruhusiwa kukaa

Baada ya dakika 8 hivi nikashangaa namuona yule dada nilie muona na yeye kaingia na kusimamishwa mbele ya darasa

Huyu ni new comer

Anaitwa neinaa

Muonesheni ushirikiano

Watu walimpigia makofii maana alikua ni ni mzur kinyamaa

Nilikua nipo zangu bizee namsikiliza ticha

Ilipo fika mida ya saa 6 tulipata mapunziko

Aiseeh dah watu walikua wanajipendekeza kwa neina daah

Mara wanamnunulia chips mwingine soda mishkaki dah

Mimi niliwaangalia kisha nikacheka tuh

Nilinunua soda na biskuti nikala nikarudi zangu class

Darasan kulikua amna mtu maana mda bado wa kurudi

Nikawa na soma soma alama za barabarani zilizo bandikwa ukutanii

Nikawa na angalia angalia mara nikaskia mlango umefunguliwa

Nikageuka nika mkuta na naina ndo ameingia

Niliendelea na zoezi langu la kusoma na ku note kwenye simu

Sikutaka kumshobokea

Maana watu walikua wana mshobokea hatarii

Hua kuna kamsemo na penda kusemaa

(Simu ya tecno hua inawatumiaji wengi na sio kwa sababu ni nzuri bali ni kwa sababu ni bei rahisii)

Mda wa break time uliisha watu wakarudi tuka piga kitabu hadii saa 12

Nilimpigia Jackline

Hallo dada nimesha toka nakusubiriii

Sawa nakuja nipo njianii


Nilitoka nje nikawa nimekaa zangu kwenye bench nikawa naskiliza music

Mara neina akaja akaka apemben yangu

Siku msemesha nikawa nipo zangu bize na music

Baada ya dakika kama 13 hivi niliona gari ya Jackline

Nilinyanyukaa na kumfwata nilimuacha neina bila kuongea nae kituu

Nilifungua mlango wa nyuma kisha nika ingia

Wew njoo uku mbele

Nikiamia mbele

Aliwasha gari natukaondoka zetu

Vp dami masomo unaonajee

Magumu siunajua mwanzo

Ila usijalii kadri siku zinavyo enda  utayazoea

Kweli eeh

Kweli

Sasa wakati gari linaenda Jackline aliachia mkono mmoja akawa anaangaika kujikuna mgongo

Aliteseka eeh

Damii embu nikune mgongo

Sikuwaza sana

Wap apa

Chini kidogo

Kushoto

Ndio apo kuna

Niliianza kukuna mbona ukuni kitu

Nakuna dada

Embu leta mkono wako alinishikisha kwenye mkanda wa bana nyonyooo a.k.a sidichekaa( sidiria)

Ingiza mkono ndani na ukune kwa chini ya mkanda

Niingize mkono

Ndio kwan ujaniskia au

Basi niliingiza mkono sasa ile naingiza nikawa na gusa gusa mgongo nilifikisha mkono na kuanza kumkuna taratibuu

Maana nikikun kwa nguvu naweza nikamchubua maana ngoz ni laini...kii...ku..

Sahiyo gari lipo speed japo sio sana

Wakati naendelea sasa saangapi akili ikaamaa nikajisahau badala ya kukuna nikaanza kutomasa mgongo.

Uwiii nilijisahau kabisaa

Oyoo Jackline kumbe na yeye kanogewa saangapi asigeukee na kunirukia mdomonii eti nimpe dendaaa alafu ameachia uskanii gari inaenda yenyewee


Nilishtuka baada ya kumuona Jackline kanigeukia nilimpushii pembeni na kuwai uskanii maana

Yesu wanguu mbele kuna gari la mchanga linakuja alafu gari yetu imeama site yake alafu pembeni kuna daladala ya Abiria na imejaza hatarii


Nilichanganyikiwa

Sijui ni pelekee wapi gari

Niache tugongwe au nipeleke ni gonge ni ue habiria


Alafu Jackline mguu wake bado upo chini nilishindwa kuingiza mguu wangu ni ni shike break nilimtingisha Jackline

Wew Jack we jack

Jack alishtuka na wenge badala ya kukanyaga break akakanyaga mafuta kwa nguvu gari likaongeza spidiii

Nilicho fanya  nikamfungulia Jackline mkanda kisha nika vuta

Handbrake kwa nguvu zote na kukatisha ustelingi kushoto

Gari ilipiga drift mmoja kaliii

KWA WATAALAMU WATA NIELEWA KWAMBA UKITAKA UPIGE DRIFTING UNAKANYAGA MAFUTA KISHA UNA KATA KONA KALII NA KUVUTA HANDBRAKE

NA SIO KILA GARI LINA DRIFT

Gari ya Jackline ilikubali ku drift na hii ni kwa sababu ni BMW

ndo maanaa

Kisha nika mvuta Jackline upande wanguu

Iliskikaaa

Paaaaaaaa!

Kila mmoja alikata moto tulizimia…………..


ITAENDELEA


USIKOSE SEHEMU 19



Usisahau ku like my page Damich story entertainment Facebook


Kwa ushauri maoni

Nichek WhatsApp 0624032247



Damich ink

Copyright

                         ©Damich 2018®

No comments:

Post a Comment