Gangster
Sehemu 2
Mtunzi damich
WhatsApp number 0624032247
Instagram……@damich2
Facebook page…. Damich story entertainment
My website….
damichstory.blogspot.com/
Tulipo ishia
Wakati Nancy anafika nyumban simu yake hiliita alipokea iliskika sauti ya mwanaume
Habari yako Nancy
Bado ujaacha tuh kunywa pombe
Nancy alimuuliza
Hivi Damich upo wapi skuzotee
Wew ni nan kila siku nakusubiri
Mimi sina namba yako wew kila siku ni wakunipigia simu tena na namba tofauti tofautii
Simu iyo ilikua inatokea south Africa
Damich alimwambia Nancy kua nipo south Africa kuna ishi mmoja napiga uku nikimaliza nitakuja Tanzania na tuta kutana basi Damich alikata simu
Haijulikani Damich ni nani na ana mahusiano gani na Nancy
*Songa nayo*
Kweny simu ya Damich kuna picha ya Nancy
Baada ya simu kukatika namuona Damich akiipiga busu picha ya Nancy huenda akawa ni mpenzi wake siwezi kujua
Tukiachana na Nancy
Uku upande wa Damich
Anaonekana ameshika mahua na akiingia kweny hotel mmoja kubwa uko south Africa
Damich alikua ni bonge la gaidii na uko south Africa hiyo kazi alio sema anafanya ndo harudi Tanzania
Hilikua ni kazi ya mauajii
Basi dami aliingia akiwa kashika maua na ndani ya kulikua na bastola ndogo
Dami aliingia moja kwa moja adi chooni kisha akatoa ile bastola na kuichomeka nyuma ya mgongo na kujitengenezea vizur na kutokaa na kuzama kweny chumba kimoja na kukuta watu wa nne na kuwacha risasi wote kisha akatokaa
Tukiachana na Damich
Turudi ukuu kwa Nancy
Kwa kitendo cha Damich kumpigia simu kilimfanya Nancy anywe pombe japo alimuhaidii priva kuwa atakunywa pombe
Baada ya hapo alijiandaa kwa ajili ya kwenda triple A kweny iyo bendi ya priva maana alimuhaidii
Basi Nancy alipiga night dress mmoja kali na kutokaa
Baada ya show kuisha priva alimfwata Nancy na kumshukuru kwa kutimiza masharti mawili alio mpaa
Wakati wakiendelea na story Nancy alimuona m baba mmoja naye akiingia baada ya Nancy kumuona huyo mh baba alikumbuka tukio mmoja
Siku mmoja walikua wakiandamwa na risasi na uyo m baba
Binti aliondoka bila kuagaa
Na kwaajili ya priva Nancy alikua tayar kuacha pombe ila baada ya kumuona yule m baba alijikuta anakunywa tena pombee kwa hasira hukuu akiwa ameshika picha ya mtoto mmoja mdogo wa kike ambayo aijulikani ni wapi alipo kwa sasa
Nancy alikunywa pombe akijua kua pombe itampunguzia mawazoo
Baada ya kunywa pombe aliondoka na kuelekea kwa rafiki yake priva
Priva alimkaribisha na kumpa kinywajii
Skia Nancy mbona uliondokaa bila ata ya kuagaa
Niskilize pii
Unamuona yule m baba alio ingia saile yule anaitwa inspekta seba na nihadui wangu kubwa na huyo ni mmoja Kati ya watu walio niharibia maisha yangu kwa kiasi kikubwa
Na leo ntakuambia kwa nini mimi na kunywa pombe
Mimi nakunywa pombe kwa ajili ya hii picha
Nancy alitoa picha ya kabinti kadogo cha kike kanaitwa charti
Priva alibakii akiishangaa iyo pichaa
Umemuona uyo mtoto ni mtoto wangu na aliuwawa kwa kupigwa risasii na seba na saivi sipo naye tena duniani
Priva aliuliza
Uliwakosea nini police
Siku wakosea chochote police bali kosa langu ni kumpenda gangster muhunii
Ngoja nikupe story ya maisha yangu kabla ya kufikia hatua hii
Mimi nilikua ni binti mmoja mzuri na nilikua sipendii kabisa pombee
Nakumbuka priva skuiyo
Damich na mwenzake walikua wakikimbizwa na mapolisii mitaa ya ngarenaro Arusha na Mimi nilikua na kaa ngarenaro sasa wakati wakiandamwa na mapolisi Damich pamoja na mwenzake waliingia ndani kwangu na kunikuta na osha vyombo
Damich alichomoa bastola na kuninyooshea baada ya kugundua ni wakike alirudisha chini
Baada ya dakika chachee polisi waligonga mlangonii kwa Nancy
Nancy alifungua na kuwaambia wanataka nini
Polisi walijieleza na binti akawaambia amna mtu apaa
Basi polisi waliondokaa
Baada ya polisi kuondoka damii alitaka atokee
Nancy alimwambia usitoke saivi polisi watakua wajafika mbalii
Wew tulia utatokaa asubui
Nancy alitokea kumuamini damii bila kujali alikua ni gaidii wala nini
Asubui aliondoka
Na sikutegemea kumuona tenaa
Ukumbuke hiyo ni story Nancy anamuadisia privaa
Baada ya siku kazaa kupita Damich alirudi kwa ajili ya kumshukuru Nancy
Damich alinipenda
Na maisha yalisongaa kiukwel ata mm nilimpenda na kama unavo jua mapenzi upofuu
Nilimpenda hivyo hivyo
Nikawa shemeji wa wahunii
Siku mmoja nikiwa nipo na Nancy tajiri yakee damii aliingia
Kumbe damii alikua na tajiri yake walio muita mr David
Siku iyo David anaingia damii aliniambia niendee ndani
Mr david alishangaa kumuona damii akiwa na mwamke
Na alimshaurii dami aachanee na mwanamke
Ila damii aligoma na aliachana na tajiri yake na maisha yalisonga
Damich aliendelea na kazi yake ya ujambazi kwa kujimilikii mwenyew na kwanzia nimeanza kuishii na damii hakuwai ata siku mmoja kunigusa alisubiri adi tulipo funga ndoa ndo akanigusa na tulibahatika kupata mtoto wa kikee
USIKOSE SEHEMU 3
WhatsApp / 0624032247
Damich story entertainment
Copyright
©Damich story ®
2018
No comments:
Post a Comment