Tuesday, 3 July 2018

Gangster sehemu 1


Gangster

Sehemu 1

Mtunzi damich

WhatsApp number 0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page…. Damich story entertainment

My website….

damichstory.blogspot.com/


MWANZO


Hilikua ni usiku mmoja mvua ilikua ikinyeesha sanaa


Maeneo ya barabarani kulikua na gari moja aina ya range rover


Ndani ya gari hiyo kulikua na watu wawili mmoja wa kike anaye itwa Nancy na mwingine wa kiume anaitwa petro

Petro alikua ni bubuu hawezi kuongea


Namuona kijana petro ana kokii bastola na kumkabidhii Nancy

Sasa sijajua walikua na mpango ganii


Namsikia Nancy akimwambia petro


Nihaidi utafanya kama ulivyo ni aidii

Baada ya maongezi hayo Nancy alichukua bastola na kushuka kweny garii

Alipanda kweny jengo moja refu lenye roshenii 10 kuelekea juu

Basi Nancy alipanda lifti na kuelekea juu

Ukumbuke ameshika bastola na sijui ni tukio gani anaenda kulifanya


Usiwe na haraka ni mwanzo tu utaelewa usiwe na haraka


Basi Nancy aliendelea kupanda juu

Alifika juu katika Room aliyo kusudia kufikaa

Alipo fika mlangonii aligongaa


Baada ya kufunguliwa mlango Nancy alimpiga kijana mmoja risasi kama nne hivi


Baada ya hapo Nancy  alionekana akishuka speed kwa kutumia ngazi za kawaida, maana alipo kua anakuja alitumia lift,ila wakati amesha fanya tukio anaonekana akishukaa haraka kuelekea chini


Sasa yule kijana alie pigwa risasi,alijikongoja na kufungua droo iliyo karibu yake na kuchomoa bastola yake na kumchapa Nancy risasi mmoja ya bega la kushoto na binti aliangukaa pale palee


Baada ya dakika chachee iliskika ving’ora vya ambiulensi pamoja na vya polisii


Hali ya yule kijana na Nancy zilikua mbaya tena mbaya sanaa


Ni mwanzo mwanzo tu

Sijuu ni mkasa ganii umewafanya hawa watu wapigane risasii


Basi waliingizwa kweny chumba cha I.c.u tayar kwa kutolewa risasii iliyo ndani ya mwili wake

Na yule kijana alikua yupo kweny chumba kingine na Hali yake ikiwa ni  mbaya kuliko ata Nancy


Wakati Nancy akitolewa risasi alianzaa kukumbukaa sababu ya matatizo yalio mpata

Hadi kufikia hatua ya kupigana risasii


Sasa kaa vizur ndo inaanza


Nancy anasema

Katika maisha yangu Nimeishii na kukutana na mambo mengi

Ila lipo Jambo mmoja lililo nifanya mpaka leo kufikia katika hali hii

Na mi nipo hapa kutaka kuku eleza ni nini  kilichonisibu paka leo hii nipo hivii


Nancy alisema yeye alijikuta akiishi south Africa na wakati alikua ni mtanzania

Pia Nancy alikua mlevii sana wa pombee


Miezi 6 kabla ya Nancy kupigwa risasii


Ilikua ni usiku mmoja watu walikua wana u  karibisha mwaka mpya

Uko Tanzania


Nancy alikua na rafiki yake wa kiume anaitwa priva

Nancy alikua anakunywa sana bombe siku hiyo akiwa na rafiki yake pii ama privaa


Priva alijitaidi kumzuia Nancy asinywe bombe sana

Lakini Nancy alikua akinywa sana pombe

Na hii ni siri yake ambayo anajaribu kutuelezaa ni nn mkasa ulio mkuta adi kufikia hatua ya kunywa pombe kihasi ichoo


Baada ya kunywa pombe

Priva alimpandisha Nancy kweny piki piki na tayar kumsindikiza nyumba


Priva alimuuliza Nancy

Hivi Nancy una huadui gani na haya maisha mpaka kua mlevii kihasi ichoo

Hii ni Siri ya maisha yangu nitakuambia hila sio kwa sasa hivii


Walipo kuwa wanakaribia kufika Nancy akimwambia priva asimamishe piki piki na binti alishuka

Priva ilibidi amuulize Nancy,hivi ni kwa nini kila nikikusindikiza nyumban  unaishia njianii na hutakii nipajue kwakoo

Na urafiki wetu ni zaidi ya miezi 3

Nancy alimwambia usiwe na haraka utapajua tuh lakinii sio leo


Priva alikubalii na kumwambia Nancy naomba nikupe masharti mawili

Sharti la kwanza usinywe pombe tena

Sharti la pili naomba uje triple A kweny bendi yanguu

Priva alikua ni mwanamziki wa happy bendi  uko Tanzania

Basi Nancy alikubalii na kumuhaidii priva kua ata huzuria


Basi binti aliondokaa


Wakati Nancy anafika nyumban simu yake hiliita alipokea iliskika sauti ya mwanaume

Habari yako Nancy

Bado ujaacha tuh kunywa pombe

Nancy alimuuliza

Hivi Damich upo wapi skuzotee

Wew ni nan kila siku nakusubiri

Mimi sina namba yako wew kila siku ni wakunipigia simu tena na namba tofauti tofautii


Simu iyo ilikua inatokea huko  south Africa

Damich alimwambia Nancy kua nipo south Africa kuna ishi mmoja napiga uku nikimaliza nitakuja na tuta kutana basi Damich alikata simu


Haijulikani Damich ni nani na ana mahusiano gani na Nancy


USIKOSE SEHEMU 2

WhatsApp / 0624032247

Damich story entertainment


Copyright

©Damich story ®

2018


No comments:

Post a Comment