Saturday, 7 July 2018

Gangster sehemu 9


Gangster

Sehemu 9

Mtunzi damich

WhatsApp number 0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page…. Damich story entertainment

My website….

damichstory.blogspot.com/


Tulipo ishia


Sasa cha ajabuu bintii alishangaa anaskia sauti yake akiongea ubalozinii


Sasa alijiuliza hii sauti yangu ina fanya nini ubalozinii alijikuta anapata shaukuu ya kujua kinacho endelea


Wakati binti anaendelea kushangaa alitaamakii


Songa nayo


Anashangaa kumuona inspecta seba akiwa na priva  Wamekaa pamoja na waandishii wa habarii

Wakiwa photoa picha

Alafu nyuma yao wamewasha projecta ikawa inaoneshaa sinemaa


Ooh shiiitiii kumbe

Alirecodiwa ile siku anatoa Hadith yakee juu ya maisha yake na alivo kutana na damii


Privaa alianza kuojiwa na waandishii wa habarii

Kwa kuipenda inchi yangu

Tumefanikiwa kufanya mambo mawili kwa wakati mmoja

Cha kwanza tumefanikiwa kutengeneza. Movie inayo muhusu muhunii pamoja na mke wake muhunii


Pili tumefanikiwa kumkamata uyo muhunii


Sikuzote ukitaka kumkamata samakii mkubwa lazima umtegee samakii mdogo


Kwaiyo nilitumia samaki mdogo kumkamata samakii kubwa


Nilitumia ujanja ujanja wa kimapenz kumkamata uyo damich


Kwa sasa Damich yupo mikononi mwa polisi anasubiriwa akanyongwe

Watu walimpigia makofiii


Nancy dakika ya mwisho ndo anakuja kujua kwamba priva alikua ni tapelii na hakua na mapenzi ya ukwel ata kidogo yeye shida yake ni alitakaa kumkamatishaa  Damich mikononi mwa polisi kwa kumtumia mke wake

(Soma kama mtuu mwenye hasira)

Sasa Nancy alimpandisha sumu ya hatar

Nancy alimwambia shetanii wewee

Ntakuuua

Ntakuuua

Pale palee

Mbele ya waandishii wa habarii alimkamata

Nakuchukiaa

Jamaa alimvuta pembeni alimpiga vibaoo

(Soma kitaratibu kama mtu mwenye huzuni,)

Kwa nini umenifanyia kitu kama ichii

Kumbe maisha yangu ulikua ukiyafanya kama sinemaa

Mimi najua kua una nipenda kumbe una nitania

Ukachezea mwili wanguu mpaka ukanipaa na mimbaa

Kumbe ulikua unanitaniaa

Sasa priva akamjibuu kwa ujasirii

(Soma kama mtuu jasirii)

Sasa Mimi nilikua sikupendii

Mimi nilikua na tafuta pesaa na nilikua na fanya kazii

Wewe ni muhunii ni muhunii tuh na mume wakoo ni muhunii vile vile


Uliyatoa maisha yako kwa muhunii hivyo na wew ni muhunii


Mimi siwezi kua na mwanamke kama wewe

Mimi siwezi kua na mwanamke kama wewe ambae ulisha pata mumee akakuzalishaa

Nitembee na wewee

Niiishii na wewe

Mimi nilikua na tafuta pesaa

Kupitia story yako na mumeo Mimi nime pata pesaa


Privaaaaaaa

Tokaaaaaaaa tena usiniwazee katika maisha yako yotee

Aita kaa iwezekane ata siku mmoja Mimi kuishii na mtuu kama wewe

Binti alikua anapigaa ke lelee

Muhuniiiii

Muhuniiiiii

Muhuniiiii


Priva akaamrisha walinzii

Mtoeniii njee

Basi binti alitolewa njeee

Ukuu akitukanaaaa

Shetanii wewee

Utakufaaa

Mbwaa wewe


Dooho inasikitisha sanaa aiseeh

Maskini Nancy ana ata baba wa kumteteaa ana ata mama wa kuingilia katii ili swalaa maskinii


Mume ndo hivyo anakwenda kunyongwa

Yeye mwenyewe ndo kamuuza mumewee

Kwa ajilii ya priva na privaa ndo uyoo kumbe kamtapeliii kimapenz aiseeh


Na uku upande wa priva yeye anaona ni sawa kabisa kwa sababu anapata pesa kwa kutumia story ya Nancy na DAMICH


Niniii kitafuataa


ITAENDELEA


USIKOSE SEHEMU 10

Ambayo ni mwisho kabisaa

WhatsApp / 0624032247

Damich story entertainment


Copyright

©Damich story ®

2018

No comments:

Post a Comment