Tuesday, 3 July 2018

Gangster sehemu 3



Gangster

Sehemu 3

Mtunzi damich

WhatsApp number 0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page…. Damich story entertainment

My website….

damichstory.blogspot.com/


Tulipo ishia


Siku mmoja nikiwa nipo na Nancy tajiri yakee damii aliingia

Kumbe damii alikua na tajiri yake walio muita mr David

Siku iyo David anaingia damii aliniambia niendee ndani

David alishangaa kumuona damii akiwa na mwamke

Na alimshaurii dami aachanee na mwanamke

Ila damii aligoma na aliachana na tajiri yake na maisha yalisonga


Damich aliendelea na kazi yake ya ujambazi kwa kujimilikii mwenyew na kwanzia nimeanza kuishii na damii hakuwai ata siku mmoja kunigusa alisubiri adi tulipo funga ndoa ndo akanigusa na tulibahatika kupata mtoto wa kikee


Endelelea


Basi tuliamua kuhama nchi na kuelekea south Africa


Damii alinihaidii tukifika uko ataacha kazi ya kijambazii

Siku mmoja tukiwa tupo barabarani mim mumewangu pamoja na mtoto wetu tulishangaa tunashambuliwa kumbe inspecta seba aliomba kibali cha kunifatilia adi uko south Africa ilimradi atukamatee


Tulikua tunakimbia uku mvua ya risasi ikituandamaa

Tulifanikiwa kuwakimbia polisi

Sasa wakati na mgeuza mwanangu nilishangaa kushika damu nilipo mgeuza chartii nilikuta tayar amesha iagaa duniaa

Chaaaa chaaa chaaaa

Niliita kwa uchungu mkubwa lakini charti wetu alikua amesha kufaa

Ni lilia sanaa

Nawakati anatoa Hadith hiyo alikua akilia hivyo hivyo maana uchungu bado anao na mume bado anaandamwa na polisi hivyo atulii na familia yakee

Na hiyo ndo sababu ya kunywa pombee

.

Basi Nancy alimaliza story yakee


Basi privaa alimsindikiza Nancy adi kwakee na priva aliishia mlangonii


Nancy alimwambia hutakii kuingia ndanii

Kwa mara ya kwanza Nancy anamkaribisha priva kwake

Sikuzote walikua wakiishia njianii ila leo ana mkaribishaa


Priva alipo ingia ukutanii aliona picha ya Nancy,mumewe pamoja na mtoto wake


Priva alimwambia Nancy ukitaka kuanza Mambo mapya sahau ya dhamanii

Naomba umsahau uyo mwanaume msahau na huyo mtoto

Mimi sitakii kuona machozi yako wakati na kupenda na nipo tayar kuku oa naomba tuanze kurasa mpya

Naomba tuishii pamoja


Binti alikubalii Na mapenzi yalianza na yalikua moto moto

Waliivunja amri ya sita bila hurumaa(wali sex)


Nancy alisahau ndoa alio funga na mume wakee


Asubui yake priva aliondoka na kwenda kwenye miangaiko yakee ya kila siku


Uku nyumban kwa Nancy

Saangap Damich ajaingia na kumwambia mke wake ameshuhudia kila kitu

Alikuja jana usiku na haliona kila kituu


ITAENDELEA


USIKOSE SEHEMU 4

WhatsApp / 0624032247

Damich story entertainment


Copyright

©Damich story ®

2018

No comments:

Post a Comment