Saturday, 7 July 2018

Gangster sehemu 7


Gangster

Sehemu 7

Mtunzi damich

WhatsApp number 0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page…. Damich story entertainment

My website….

damichstory.blogspot.com/


Tulipo ishia


Pora utoe taarifa kituo cha polisi Damich akamatwee

Binti alisema apanaa

Priva alimwambia sio nafanya hivi na mchukia damii ujanielewaa

Acha polisi wa mkamate kafanya ualifu mwingi

Husipo mkamatisha kwa polisii polisi waki mkamata wata mpiga risasi wata muua

Cha kumsaidia akamatwee na polisi apate adhabu yakee akimaliza ata achiwaa

Binti aligoma kabisaa

Embu tafakarii

Binti alitafakariiiiii


Songa nayo


Basi binti aliondokaa na kwenda walipo panga kukutana na dami ili wapande zao ndegee wa rudii Tanzania


Binti alikaa bila kumuona damiii

Alijua damii atakuwa ame mdanganyaa

Basii aliamua zake kuondoka sasa wakati anaondokaa


Mara anaskia sautii ya mtuu anaguna kwa maumivuu alikua ni damii

Amechakaa yupo hoi


Jamaa alijisogeza karibu na mke wakee kisha akatoa passport na visa na kumuonesha mke wake


Wakati Nancy amemkombatia damii inaskika vi ng’ora vya polisi


Aiiiiseeh kumbe Nancy aliamua ku msikilizaa priva dooh

Kwamba amkamatishe kwa polisi na hatimaye atakuja kutokaa dah


Dami leo hii kwa kumuamini mwanamkee anakamatwa na polisi

Haku amini


Mwanamkee ni kiumbe dhaifuu sanaa

Kwa kushawishiwa na Nancy ka sahau miaka 5 alio ishii na mume wakee


Kasahau jamaa aliacha ujambazi kwa ajili yake

Daah aiseeh


Damii alilia kwa uchungu mkubwa mnooo

Yani anaacha ualifu na ndo siku anayo kamatwa

Aiseeh aliliia inaumaaa aiseeh

Aaaaaiiiiiiaaaaaiiii iiiiiiiihiii ahaaiiiiii iiiiiiiiii

Alikamatwa kilaini mno,kirahisii

Aiiiiii aiiiiiiii

Iiiii

Wakamuingiza kweny garii

Nancy Alijua amemsaidia lakinii wapii

Ukiangalia damii alikua ni mualifu mkubwa hivyo awezii kuachiwa hivi hivi ni lazima apewe hukumu ya kunyongwa


Bintii alijua amesha msaidia damii na nibora akaishii na privaa

Mume ambaye kwa sasa ana mimbaa yakee


ITAENDELEA


USIKOSE SEHEMU 8

WhatsApp / 0624032247

Damich story entertainment


Copyright

©Damich story ®

2018

No comments:

Post a Comment