Gangster
Sehemu 8
Mtunzi damich
WhatsApp number 0624032247
Instagram……@damich2
Facebook page…. Damich story entertainment
My website….
damichstory.blogspot.com/
Tulipo ishia
Nancy Alijua amemsaidia lakinii wapii
Ukiangalia damii alikua ni mualifu mkubwa hivyo awezii kuachiwa hivi hivi ni lazima apewe hukumu ya kunyongwa
Bintii alijua amesha msaidia damii na nibora akaishii na privaa
Mume ambaye kwa sasa ana mimbaa yakee
Songa nayo
Bado ni story wakati huo binti ana hali mbaya
Binti alikaa akatafakarii akikumbukaa damii alivo kuwa akiliaa
Binti roho ilikua inamuuma
Basi binti aliamua kumfwata priva nyumban kwakee
Lakini alipo fikaa alikuta kumefugwaa akaamua kupiga simu lakini ilipokelewa na mtu mwingine
Hallo wew nanii
Mimi Nancy
Ok priva
Alikua anakutafutaa sana Ila saivi yupo ubalozinii
Ubalozi wa Tanzania nchini south Africa
Binti alishangaa sanaa
Uyu jamaa anafanya kazi ya bendi ubalozinii anaenda kufanya nini
Ilibidii aende mmoja kwa moja adi ubalozinii
Sasa cha ajabuu bintii alishangaa anaskia sauti yake akiongea ubalozinii
Sasa alijiulizay hii sauti yangu ina fanya nini ubalozinii alijikuta anapata shaukuu ya kujua kinacho endelea
Wakati binti anaendelea kushangaa alitaamakii
ITAENDELEA
USIKOSE SEHEMU 9
WhatsApp / 0624032247
Damich story entertainment
Copyright
©Damich story ®
2018
No comments:
Post a Comment