Saturday, 7 July 2018

Gangster sehemu 8


Gangster

Sehemu 8

Mtunzi damich

WhatsApp number 0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page…. Damich story entertainment

My website….

damichstory.blogspot.com/


Tulipo ishia


Nancy Alijua amemsaidia lakinii wapii

Ukiangalia damii alikua ni mualifu mkubwa hivyo awezii kuachiwa hivi hivi ni lazima apewe hukumu ya kunyongwa


Bintii alijua amesha msaidia damii na nibora akaishii na privaa

Mume ambaye kwa sasa ana mimbaa yakee


Songa nayo


Bado ni story wakati huo binti ana hali mbaya


Binti alikaa akatafakarii akikumbukaa damii alivo kuwa akiliaa


Binti roho ilikua inamuuma

Basi binti aliamua kumfwata  priva nyumban kwakee


Lakini alipo fikaa alikuta kumefugwaa akaamua kupiga simu lakini ilipokelewa na mtu mwingine

Hallo wew nanii

Mimi Nancy

Ok priva

Alikua anakutafutaa sana Ila saivi yupo ubalozinii

Ubalozi wa Tanzania nchini south Africa

Binti alishangaa sanaa

Uyu jamaa anafanya kazi ya bendi ubalozinii anaenda kufanya nini

Ilibidii aende mmoja kwa moja adi ubalozinii


Sasa cha ajabuu bintii alishangaa anaskia sauti yake akiongea ubalozinii


Sasa alijiulizay hii sauti yangu ina fanya nini ubalozinii alijikuta anapata shaukuu ya kujua kinacho endelea


Wakati binti anaendelea kushangaa alitaamakii


ITAENDELEA


USIKOSE SEHEMU 9

WhatsApp / 0624032247

Damich story entertainment


Copyright

©Damich story ®

2018

No comments:

Post a Comment