Sunday, 24 June 2018

She is my boss sehemu 16

She is my boss

Sehemu 16

Mtunzi damich

WhatsApp number 0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page…. Damich story entertainment

My website….

http://damichstory.blogspot.com/

Tulipo ishiaishia

mshahara utapandaa

Nilifurai sana nilimshukuru sana mr frey

Na mke wake Latipha

Watu wote walifurai sana

Ila mzee mimi sijui kuendesha gari

Usijal mwanangu akuna mtu aliye zaliwa anajua hivyo utafundishwa

Jackie

Yes daddy

Nataka umfundishe dami kuendesha gari ndani ya mwezi na mwezi ukiisha na mpelekaa driving school wiki 2 ajue sheria za barabarani na upate lesseni kabisaa

Aiseeh nilifrai sanaa

Songa nayo

Basi nili mchukua yule kijana alie letwa na kwenda kumpa maelekezo ya kwenye bustani,

Baada ya siku hiyo kupitaa

Leo ndo ilikua siku ya kwenda kufundishwa garii

Niliwai kuamka nikapiga majii kisha nikaenda kutupia maukalii(nguo),na kuhakikisha natoka smart, skuiyo nilikua na raha sanaa

Kiukwel nilipendezaa sana maana nilikua nimekupigia singlendi nyeupe, crazy jeans nyeusii,nikakupigia na boshori nyeusi na miwani ya rangi ya gold,chini nikatupia Airmax nyeupe yenye nyekundu na saspendaa

Yani ukiniona unaweza sema msanii flan hivi wa music

Nilichukua smartphone yangu nikatoka nje na kumfwata Erick

Og niaje man

Fresh aiseeh dah leo kweli umetokezea kinomaa aiseeh

Amna kawaida

Ndo unaenda ku drive

Ndio man

Ila utulize akili ndo utaelewa chap

Poa man

Damiiii damiiiio

Niliskia na hitwa uko nje na Jackie

Naam nakuja

Nilimuaga Erick nikatokaa sasa ile nimetokaa

Nilipo muangalia Jackie ilinibidi ni duhae nilibakii mdomo wazi

Na cha kushangaza na yeye alibakii mdomo wazi

Wote tukawa tuna shangaana..

Hee Damii

Jackie aliongea

Nisamehee

Niliomba msamaa maana niliona kama nimemkosea hadabu kwa kumtazama

Maada Jackie alitupia kiblauz cheupee kikalii kinoma na sketi nyeusi ndefu ila ina mpasuo wa hatariii yan umepanda adii kwenye mapaja na kuonesha paja nje

Na ndo maana niliduwaa ila sjui yeye alishangaa nini

Jamn damii kumbe na wew ni handsome

Skujibu nilikua na tabasamu tuh

Ndo tunaondoka

Ndio

Nilipotezea mada kimtindoo

Ok chagua garii

Niliangalia nikachagua  range rover

Basi nilifungua mlango wa nyuma nikaingia

Damii njoo ukumbelee ukiangalia navo pangilia gia

Ok nilikubalii

Haahaa leo. Leo kazi ipoo

Nilijisemea kimoyonii

Basi nilikaa mbele

Jackie aliwasha gari na tukaondoka tulifafuta kiwanja kikubwa kwa ajili ya kujifunzia

Tuka fika kiwanjanii

Jackie alizima gari kisha akaniita upande wake aliopoo

Shuka njoo ukuu

Nilifanya kama alivo sema

Angalia hii switch vizurii

Hii switch ina sehemu 3

Kuna

Off

On

Start

Ukiambiwa washa gari unatakiwa uzungushe ufunguo hadi kwenye start,na ukiambiwa zima una peleka hadi kwenye Off

Na hii On ukiweka gar lina kua on lakini lija wakaa

Sawaa

Nilimuelewa Jackie ila iyo miinamio anayo niinamia duh nihatar

Ok panda kaa apo kwenye kitii

Jackie aliniambia nikae kwenye kiti cha dereva alafu yeye akakaa upande mwinginee

Usifanye chochote subiri maelezo sawa

Sawaa

Embu weka switch on

Niliwekaa vizur

Safii

Angalia chini ya miguu yako kuna pedo  3 umeziona

Ndio

Ya upande wa kulia kwako inaitwa exlater ni ya mafuta, alafu ya katikati ni break na  kushoto ni clach pedoo

Wakatii unapiga startar unatakiwa uguse na pedo ya mafuta kidogo

Sawa

Sawa

Embu piga startar

(Aya maelezo ya kujifunza gari ni marefuu ngoja niyakatee maana yata chukua nafas kubwa kweny story nita weka sehemu muhimuu)

Sasa ilifika wakatii wa kupanga gia

Niliwekaa mkono kwenye gia liver

Na Jackie akaweka wake juu yangu

Sasa ule mgusano ukaleta halii ya utofauti kwa kila mmoja

Ukimya ulitawalaa

Kila mtu akawa yupo kama ayupoo

Nilimshitua Jackie

Namba 1 inawekwa jee

Alinielekeza

Baada ya masaa 6 hivi nikawa naweza kuendesha japo kidogo japo bado gia na changanyaa

Jackie alishuka kwenye gari na kuniambia ana kuja Mimi niendelee na zoezii

Kiukwel nilikua na jitahid sanaa

Basi Jackie alirudii akiwa na mfuko mweusi mkubwaa

Akaniambia nipunzike tulee

Basi alitoa mifuko miwili ya chips Mayai mishkakii redbud mbilii popcorn pamoja na crips

Tukawa tuna kula lakini Jackie macho yakee katupia kwangu nilikua na muona

Ila damii leo umependeza sana kulikoo siku zotee

Asante tulikula tuka malizaa

Ikabakii popcorn na crips

Sasa Jackie akawa ana washa Aic akisema kuna jotoo

Aliwasha Aic kisha akafungua vifungo vitatu vya blauzi yake na kuacha kifua wazi adi titiz zikawa zinaonekana japo sio sanaa

Alafu akapandisha miguu kwenye dashboard ya gari na kuanza kula crips

Kiukwel hali ilibadilika kwanguu

Mashine ilikua tayar imesimama hatar

Na Jackie anajifanya ajui kinacho endelea

Ila nikama Jackie alikua ananitegaa

Sasa wakati na discuss nini nifanyee nikashangaa Jackie kapitisha mkono na kupiga lock mlango wangu wa mbele kisha aka piga na wakee alafuu akafyatua kitichangu kikalala kama kitanda alafu akanikalia juu

Damiiii Mimi nakutega unajidai huelewii

Saiyoo kanikalia tuna angaliana

Ukijumlisha mashine imesimama na mtoto kaikalia dah  hatar

Nilimvuta Jackie mdomon na kuanza kudendekaa

Aiseeh Jackie alikua na moto hatarii

Yanii kila ninapo gusa na kutana na kijoto amazing

Alafu Jackie anaonekana ni bikra au kama si bikra aja sex mda mrefuu

Nilianza kufungua vifungo vya blauzi yake huku denda likiendelea

Nilimaliza woooh

Jackie alikua ana chuchu saa 5:30 yanii ni shidaaa

Basi nilianza kuzinyonyaa kiufundii ukunikipapasa mapajaa

hhhhmmmmnnnn uuuunnn mmmm aaaahhh oohh

mmmmhh ssssssiii aaaahhhh ggghjjjjkkkllliiii

Migunoo Jackie ilikua siyoo ya nchii hiii yani********

ITAENDELEA

USIKOSE SEHEMU 17


Usisahau ku like my page Damich story entertainment Facebook

Kwa ushauri maoni

Nichek WhatsApp 0624032247


Damich ink

Copyright

               ©Damich 2018®

No comments:

Post a Comment