Sunday, 24 June 2018

She is my boss sehemu 15

She is my boss

Sehemu 15

Mtunzi damich

WhatsApp number 0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page…. Damich story entertainment

My website….

damichstory.blogspot.com/

Tulipo ishiaishia

Basii tulifanyaa kwa mdaa kila mtu akaridhikaaa na maufundii ya mwenzakee

Tuliponge zana kishaa nikaavaa zangu nguo kisha nikaondokaaa

Endelea

Siku iliyofuata niliamka kama kawaida nikawa na piga zangu kazi kama kawaida

Nilifanya usafi mpaka mida ya saa4 hivi

Freymar pamoja na mke wake walikua tayar wameenda kazini

.nyumban walibaki Jackie,Jackline,aisha,rose, Erick pamoja na Mimi

Nilimaliza kazi nikanywa chai kisha nikawa nipo zangu kweny bembea najitoa ushamba na smartphone

Kiukwel nilikua najua ku piga na sms tuh

Vingine sivijui

Sasa wakati na ng’ang’ana na simu yangu alijitokeza Jackie akiwa na yeye kashika simulation kama ile yangu copy right

Alikuja na kukaa pembeni yangu

Mambo damii

Poa mzma wew

Mi mzma off kwakoo

Nashkuru karibuu

Hee na wew una smartphone mbona maajabuu

Hee kwani mimi sio mtu.  

Apana ila nakuona kama mshamba hivii

Weee mimi mimi sio mshambaa

Ntajua tuh kama sio mshambaa

Unaijua WhatsApp, Facebook, Instagram

Na zisikiagaa

Hahaha sasa siumeona

Ujui ata WhatsApp

Okay nimekubalii mimi mshambaa

Leta nikufungulie WhatsApp Facebook Twitter Instagram na playstore

Alafu nikufundishee

Ok sawa

Una megabytes

Sina

Jackie alitoa elfu 5

Shika ka nunue vocha ya 2000

Basi nilitoka nje na kununua vocha kisha nika rudi nika mpa

Alijiunga mb kisha tukaanza na kufungua playstore

Jina la kwanza

Damich

Jina la pili

Bida

Password

*******

Www.damichnt@gmail.com

Damich

Email yako ni

www.damichnt@gmail.com

Password yako ni*******

Unatakiwa ukariri

Jackie aliingia playstore na mimi nilikua na muangalia

Ali search WhatsApp kisha aka install

Facebook

Instagram

Zote zilimaliza ku instolikaa

Basi alinifungulia

Facebook

Instagram

Na WhatsApp


Kila kitu kikamalizikaa

Alinifundisha jinsi ya kutumia hiyo mitandao ya kijamii

Sasa nikawa na weka pic yangu Facebook

Nikamaliza nikaweka WhatsApp pamoja na Instagram

Kiukwel nilikua na kichwa chepesii maana nimefundishwa mda huo huo lakin nimeshakua mtaalamuu

Sasa nikiwa na shangaa shangaa mara message ika ingia WhatsApp

Hiyo ndo account yangu

Niliuliza wew nan

Acha ufala mimi Jackie

Aaha okay

Utakuta nimekutumia friend request Facebook

Na nimeku follow Instagram

Sawa

Sasa tukiwa tupo pale kweny bembea

Aisha alikuja na kutuambia tunaitwa wote sebleni

Basi tulinyanyukaa na kwenda sebleni

Nilipo fika nilishangaa kuwa kuta watu wote kweny nyumba wapo sebleni nilishangaa kwa sababu kuna mgeni wamekuja nayee

Mr frey au baba mwenye nyumba

Uyu ana itwa petro ni mfanya kazi mpya ata kuwa anahusika na garden

Na Damich yeye

Mzee kuna mahali nimekosea

Mzee wangu

Usinifanyie hivyo nipo tayar ata unipunguzie mshahara lakin sio kunifukuzaa

Huwez amini nililia kabisa yan maana nilikua nimesha ng’aa sikutaka kurud kabisa uparee

.nilimfwata mzee na kumpigia magoti

Nilihisi labda kuna mahal nilikosea

Watu wote walinionea hurumaa aiseeh

Rose machoz yali mlenga lengaa

Aisha ndo usisemee

Karibuu watu wote hawakufurahishwa na kitendo cha mimi kufukuzwa

Lakin mr frey yeye pamoja na mke wake Latipha walikua wakitabasamuu tuh

Sikiliza sikiliza mwananguu

Nilishangaa mr frey kuniita

Mwanangu

Watu wote walikua attention

Kujua Freymar ataongea nn

Mimi na mama yako tuliona tumeishi na wew vizur bila shida yoyote tukaona tukubadilishie kazii saivi hautakua una husikaa na garden tena bali utakua dereva wa familia na uyu yeye atahusikaa na garden

Na mshahara utapandaa

Nilifurai sana nilimshukuru sana mr frey

Na mke wake Latipha

Watu wote walifurai sana

Ila mzee mimi sijui kuendesha gari

Usijal mwanangu akuna mtu aliye zaliwa anajua hivyo utafundishwa

Jackie

Yes daddy

Nataka umfundishe dami kuendesha gari ndani ya mwezi na mwezi ukiisha na mpelekaa driving school wiki 2 ajue sheria za barabarani na upate lesseni kabisaa

Aiseeh nilifrai sanaa


ITAENDELEA

USIKOSE SEHEMU 16


Usisahau ku like my page Damich story entertainment Facebook

Kwa ushauri maoni

Nichek WhatsApp 0624032247


Damich ink

Copyright

               ©Damich 2018®

No comments:

Post a Comment