Tuesday, 5 June 2018

She is my boss sehemu 1



Mtunzi damich

WhatsApp

number

0624032247

Instagram……@damich2

Facebook page….kerubi 9

story entertainment

My website….https://

damichfun.simdif.com

Mwanzo

Nikiwa safarini kuelekea

jijini Arusha

Mimi naitwa Damich

Nimezaliwa update

Nimemaliza form 4

mwaka 2016

Maisha ya upare yalikua

maisha magumu sana

hivyo nilona

Nibora niende Arusha

maana uko Arusha kuna

mjomba angu anaishi uko

na maisha yake yalikua ni

mazuri sana

Gari lilifika stendi kubwa

ya Arusha

Nilishuka nikiwa mgeni

kabisa

Nilotoa simu kisha Nika

mpigia simu mjomba

Hallo

Hallo

Shkamoo mjomba

Marahaba vipi umesha

fika

Ndio mjomba

Ok nisubiri sehemu

wanapo paki tex nakuja

Basi nilisubiri kama robo

Mjomba alikuja na gari

moja Kali

Nilipanda gari

Kisha tukaondoka zetuu

Tulipo fika nyumban

Tuliingia moja kwa

mojaaa

Tulipo fika tuliingia ndani

ilikua ni bonge la

mnyumbaaa

Ukiskia nyumba ata iyo

inaadhi ya kuitwa nyumba

Nilimkuta mdada mmoja

Kwa haraka haraka

anaonekana ndo mke wa

mjomba

Shkamoo

Nilimpa salam

Hila akuitikia niliona sio

kesi nikakaa zangu kimya

Mke wangu huyu ndo

kajomba kangu kametoka

upare tuta kua tuna ishi

naye

Yule mwanamke

alinyanyuka na kuondoka

Mjomba ilibidi amfwate

Nikiwa apo sebleni

Niliskia kama wana

rumbana hivi

Baada ya dakika kama 6

hivi mjomba alitoka uku

akitabasamu

Akutaka ni jue kama

ametoka kweny

malumbanoo

Damich njoo nikuoneshe

chumba

Basi nilioneshwa chumba

kisha nikaoga kisha nika

enda kujipunzisha zangu

Skuiyo ilipita

Asubui niliamka zangu

kisha nika toka nje

Nikawa na piga zangu

mswakii nje

Sasa nikawa na tafuta

sehemu ya kutemea mate

Nilisogea adi kweny

bustanii

Nikaona ni sehemu sa hihi

ya kutemea mate

Niliendelea kupiga

mswakii

Wewe mbwaa nani

kakuambia uteme mate

kweny bustanii yangu

Umetumwa Eeeh

Nilibaki kimya

nikimsikiliza mke wa

mjomba

Aha mke wangu sasa

maneno yote ya nini

Siunge muelewesha tuh

Siuna jua yeye mwenyewe

katoka kijijini

Yule mwanamkee

aliondoka zake

Dami embu jiandae nataka

tutokee

Mjomba apa Mimi nipo

vizur ni wewe tuh

Tangulia kweny gari

nakuja

Sawa

Niliingia zangu kweny gari

Nikawa na msubiri

mjomba

Skujua mjomba ana taka

tuende wapi

Mjomba alikuja kisha

akawasha gari tuka toka

nikiwa kweny gari

Mjomba Hali ya hewa ya

Arusha ni nzuri sana

Kuliko kule kwenuu eeh

Mjomba

Damich niskilizee Kwa

umakini

Nilikuata uku mjini Kwa

ajili ya kukutafutia kazi

Ndio mjomba

Ngoja ni kupe hadithi

kidogo kuhusu Mimi

Kipindi kile naondoka

kijijini

Nilipo fika Arusha

niliteseka sana

Yani nilikua kama

chokoraa nilikua sina ata

sehemu ya kulala

Sasa siku mmoja nikiwa

kweny pilika pilika za

kutafta pesa ya kula

nilikua na pita pita mitaa

flani hivi

Sasa kweny pita pita zangu

nilikutana na jamaa

mmoja anakimbia kinoma

Alinipamia na

kuniangusha nilipo amka

nilitukana sana sasa kabla

sjakaa vizur kuna dada

akatokea alikua akilia kua

kaibiwa

Niliamua kumfukuzia yule

jamaa

Kama unavo jua mjomba

wako tokea kijijini nilikua

na mbio Sana

Hivyo jamaa akufika

mbali nilimpiga bonge la

mtama

Akaanguka nilimfwata

nika mpiga ngumi kama 3

Brother ni samehe ni njaa

tuh

Mim sio mwizi

Nilimuonea huruma kisha

nika search ile pochi

nikakuta ina pesa nyingi

nilitoa elfu 10 kisha nika

mpa yule jamaa akale

Usirudie kuiba tena sawa

Wizi sio mzuri

Sio kila mtu ana huruma

Basi nilishika ile pochi

kisha nikawa na rudi

kumfwata yule dada

Yan alinishukuru sana

ASANTE sana kaka angu

Yan hii pochi ilikua na

vitu vya humuimu Sana

Poa nilimkabhi kisha

nikawa na ondoka zangu

Samahan kaka angu

Mbona una ondokaa

Shika hii itakusaidia

alinipa kitita cha kama

laki3 hivi

Asante dada angu aina

haja ya kunipa ela yote hii

Kutenda msaada ni

jukumu la kila

mwanadamuu

Chukua chukua tuh usjal

Ok nilichukua kisha

nikiwa na ondoka

Samahan una simu unipe

number zako

Apana sina dada angu basi

alinipa simu mmoja ya

botton nakuniambia nenda

ka sajili laini

Aliniandikia number

Kisha akaondoka

Nahuo ndo mwanzo wa

kujuana na ndo huyo

shemeji yako

Na hisi malizote unazo

Ziona

Ni za Yule

Mwanamkee

APA sahivi nakupeleka

kwa rafikii yangu

niliongea naye atakupa

kazii

Poa tulienda Hadi kweny

hiyoo nyumba

ITAENDELEA

USIKOSE SEHEMU 2

© Damich ®

™ 2018

No comments:

Post a Comment